Saturday, 15 June 2013

HUYU MISS TANZANIA VIPI TENA?

 
Haikuweza kufahamika mara moja za sababu za yeye kupiga picha hizo na jitihad za kumtafuta zinaendelea ili aweze kuzifungukia
Miss Dar Indian Ocean ambaye ni Miss Kinondoni namba 2 mwaka jana, Diana Hussein  hivi karibuni amejikuta akipata aibu baada ya picha yake ya utupu kuvuja,
Picha hiyo inayomuonesha Diana akiwa matiti nje, imesambaa kwenye mtandao wa simu wa BBM huku baadhi ya watu ‘wakifoadiana’. 
Baadhi ya marafiki wa mrembo huyo walisema kuwa wameshangaa kuiona picha hiyo kwani kwa wanavyomjua hawakutarajia.

Akiizungumzia picha hiyo, Diana alisema aliipiga kwa matumizi yake binafsi ila akashangaa kuona imesambaa mtandaoni.

No comments:

Post a Comment