Sunday, 9 June 2013

AKAMATWA KWA KUIBA STULI YA MWENGE WA UHURU

 
ARUSHA, Tanzania
JIJI la Arusha limeendelea kujijengea sifa ya kuwa moja ya maeneo yenye vituko, kufuatia kijana mmoja mkazi wa eneo la Phillips, kata ya Sekei jijini humo, Hamad Rashid (32) kukamatwa leo akiiba kiti (stuli) kinachotumika kuwekea mwenge wa Uhuru wakati mwenge ukiwa katika mbio zake

No comments:

Post a Comment