Sunday, 14 July 2013

PREZZO BADO YUKO NA DIAMOND


Mwanamuziki Jackson Makini “Prezzo” ameendelea kumrushia makombora ya maneno Diamond kila anapopata wasaa hasa kupitia kwenye tweeter. Sakata hili limetokana na majigambo ya Diamond kwenye vyombo vya habari kabla ya Tamasha la Matumaini kufanyika kuhusu kumgalagaza Prezzo kwenye show hiyo. Wakati Diamond alikuwa ananogesha tamasha lakini Prezzo ameonekana kutokupendezwa na kauli ya Diamond.

Prezzo alianza mashambulizi dhidi ya Diamond kwa kuweka picha ya gazeti inayowaonesha akiwa na Diamond kwenye habari iliyohusu tamasha hilo na kuandika ‘Hahahaha DomoSeriouly????. Baadaye kidogo akatuma post nyingine inayosema ““U talkin money or u talkin nonsense au anashindana na ndovu?

No comments:

Post a Comment