Habari zilizotufikia kutoka mjini Mtwara Zinasema kuwa Gari lililobeba
Shehena ya Mabomba ya Kusafirishia gesi kutoka Mjini Mtwara kuelekea Dar
limeshambuliwa na mawe na kupelekea dereva Wa lori hilo Kujeruhiwa
Vibaya. Lori hilo lilianza kushambuliwa mara baada ya kuingia katika
manispaa ya mikinda Mtwara Mjini Sababu ya kushambulia gari hilo ni
katika kile kinacho dhihirisha kua wana Mtwara bado hawajakubaliana na
hoja ya Serikali ya kutaka Kusafirisha Gesi hiyo kwaajili ya Manufaa ya
Nchi.
No comments:
Post a Comment